Home
»
»Unlabelled
» Video: Wanene Entertainment wazindua studio kubwa na za kisasa Dar
Ni uwekezaji mkubwa zaidi katika sekta ya burudani hapa Tanzania. Ndani ya himaya hii, kunapatikana studio za gharama kubwa zilizosheheni mitambo ya kisasa. Kuna studio mbili za sauti huku idara hiyo ikiongozwa na mjuzi na msomi wa ukandarasi sauti na mtayarishaji muziki, Sarthak Tale kutoka nchini India.Wanene Entertainment imezindua studio kubwa za kisasa ambazo kwa mujibu wao ni za kwanza Afrika Mashariki na Kati.
31
Jul
2016
Uzinduzi wa studio hizi ulihudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta ya burudani huku mgeni rasmi akiwa Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura.
Akizungumza kwenye uzinduzi huo, Mheshimiwa Wambura alisema studio hiyo itakuwa mkombozi kwa wasanii wengi ambao walikuwa wakipeleka kazi zao nje ya nchi kufanyiwa mastering. Pia amedai kuwa uwepo wa studio hiyo utawasaidia wasanii kuwa na kazi zenye ubora wa kimataifa.
Kwa hakika studio za Wanene zitakuwa mkombozi kwa tasnia ya burudani ya Tanzania na kuupa muziki wake hadhi ya kimataifa ambayo wasanii wamekuwa wakiitafuta kwa miaka mingi.
Advertisement

Recent Posts
- ‘Tonight Show’ Producer Praises Taylor Swift After Emotional Tribute to Jimmy Fallon’s Mom: ‘She Did Something Beautiful’15 Nov 20170
Taylor Swift performs 'New Year's Day' on November 13, 2017 on The Tonight Show starring Jimmy Fal...Read more »
- Kim Kardashian Responds to Nicki Minaj’s #BreakTheInternet Paper Magazine Cover15 Nov 20170
Kim Kardashian and Nicki Minaj attend the 2015 MTV Video Music Awards at Microsoft Theater on Augu...Read more »
- They’re Playing MUSICAL D**KS Again In Holllywood . . . Now The Weeknd . . . Is Dating JUSTIN BIEBER’S EX-Girlfriend!!! (Who Looks Better . . . Selena . . . Or Justin’s EX??)15 Nov 20170
They’re Playing MUSICAL D**KS Again In Holllywood . . . Now The Weeknd . . . Is Dating JUSTIN BIEBE...Read more »
- 15 Nov 20170
PICS: THICK RIHANNA Shows Off Her Voluptuous Legs . . . She Got A LOT MORE MEAT On Her . . . But It...Read more »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.