Man City wakamilisha usajili wa kinda wa miaka 19 raia wa Brazili Gabriel Jesus
Gabriel Jesus amesaini mkataba wa miaka mitano, makubaliano ya Man City na Palmeras katika uhamisho wa staa huyo ni kuwa atajiunga na Man City baada ya msimu wa Ligi Kuu Brazil utakapokamilika mwezi December.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.