Home
»
»Unlabelled
» Shetta adai msanii kufanya muziki bila kuwa na management ni ‘uswahili’
Msanii wa muziki Shetta amefunguka na kueleza faida alizozipata baada ya kutangaza management yake mpya ambayo imemsaidia kufanya mambo ambalimbali ambayo hapo awali alikuwa akiyafanya mwenyewe.
02
Aug
2016
Akiongea na tygatattoo Jumapili hii, Shetta amesema ameamua kufanya muziki wake ‘kiprofessional’ zaidi tofauti na awali.
“Kuamua kuwa na management ni kuamua kuwa professional, huwezi kuwa msanii huna management, huna mtu ambaye anakupangia ratiba, huna mtu ambaye nasimamia kazi zako, huyo ni uswahili,” alisema Shetta.
Aliongeza, “Ni kitu kizuri lazima uwe professional, yaani haiwezekani mtu akaja akadeal na mimi direct, lazima awasiliane na uongozi, mimi napewa tu taarifa ya mikakati na nini kifanyike,”
Pia rapper huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo ‘Namjua’ amewataka mashabiki wa muziki wake kusubiria surprise za kazi mpya.
Advertisement

Recent Posts
- ‘Tonight Show’ Producer Praises Taylor Swift After Emotional Tribute to Jimmy Fallon’s Mom: ‘She Did Something Beautiful’15 Nov 20170
Taylor Swift performs 'New Year's Day' on November 13, 2017 on The Tonight Show starring Jimmy Fal...Read more »
- Kim Kardashian Responds to Nicki Minaj’s #BreakTheInternet Paper Magazine Cover15 Nov 20170
Kim Kardashian and Nicki Minaj attend the 2015 MTV Video Music Awards at Microsoft Theater on Augu...Read more »
- They’re Playing MUSICAL D**KS Again In Holllywood . . . Now The Weeknd . . . Is Dating JUSTIN BIEBER’S EX-Girlfriend!!! (Who Looks Better . . . Selena . . . Or Justin’s EX??)15 Nov 20170
They’re Playing MUSICAL D**KS Again In Holllywood . . . Now The Weeknd . . . Is Dating JUSTIN BIEBE...Read more »
- 15 Nov 20170
PICS: THICK RIHANNA Shows Off Her Voluptuous Legs . . . She Got A LOT MORE MEAT On Her . . . But It...Read more »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.