Unknown Unknown Author
Title: Picha: Rick Ross amsaini omba omba Maybach Music Group
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Rapper Rick Ross na bosi wa Maybach Music Group, amemsaini rapper asiyekuwa na makazi aliyekutana naye barabarani na kuanza kuchana mbe...

Rapper Rick Ross na bosi wa Maybach Music Group, amemsaini rapper asiyekuwa na makazi aliyekutana naye barabarani na kuanza kuchana mbele yake ili kupata nafasi ya kuwa kwenye lebo yake.Isa Muhammad ni rapper asiyekuwa na makazi ya kuishi na kwao ni California ambaye amekuwa na bahati ya mtende kwa kulifurahisha sikio la Rozay na kuwa msanii mpya wa MMG.
Kupitia taarifa kwa vyombo vya habari, Rozay amesema hakutegemea kumsaini msanii huyo ila uwezo na moyo wake ulimfanya iwe rahisi kumkubali.

Jiunge na tygatattoo.blogspot.com sasa

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka tygatattoo!

Advertisement

Post a Comment

 
Top